WELCOME !

THANK YOU FOR VISITING THIS SITE. I HAVE BEEN USING BOTH SWAHILI AND ENGLISH LANGUAGE TO EXPRESS ISSUES - I HAVE ATTACHED ENGLISH VERSION TO SOME OF THE SWAHILI NEWS/STORY AT THE END.

Friday 16 March 2018

EGYPT LAUNCHES NEW DIGITAL FORENSICS LAB



IN BRIEF: The Government of Egypt has announced that it is setting up a specialized digital forensic lab for Intellectual Property as part of its enforcement schemes of combating software piracy.

---------------------------------------

The new lab, the first of its kind in the MENA region, is mainly designed to resolve business software and internet-based piracy cases. It authentically recovers data from digital devices and unearths new fraud techniques.


The latest measures applied aim to enhance the investigative capabilities and ease the digital forensic evidence acquisition, analysis, and reporting.


Saturday 3 March 2018

URUSI YAKANA KUISHAMBULIA KIMTANDAO UJERUMANI



KWA UFUPI: Mifumo ya kimtandao katika baadhi ya wizara za serikali ya Ujerumani ilikumbwa na udukuzi uliopelekea kuibiwa kwa taarifa kadhaa huku baadhi ya vyombo vya habari vimeishutumu Urusi dhidi ya shambulizi hilo la kimtandao. Nae waziri wa Ujerumani wa maswala ya uchumi akieleza hawana uhakika kua Urusi imehusika na shambulizi hilo. Aidha, Urusi  imekana kuhusika na shambulizi hilo.
------------------------------------------

Mataifa makubwa yenye uwezo wa kimtandao yamekua yakishutumiana panapo tokea mashambulizi mtandao kwenye mataifa hayo. Urusi, Uchina na Korea ya Kaskazini wamekua wakishtumiwa Zaidi na mataifa ya Ulaya na marekani.

---------------------
TAARIFA: Tume ya TEHAMA ya nchini Tanzania imekaa kikao chake cha kwanza mahsusi kujadili maswala ya usalama mtandao Nchini ambapo mengi yalipata kuangaziwa na lengo kuu limekua ni kuhakiki tunapata taifa salama kimtandao.
---------------------

Ujerumani Hivi karibuni imekumbwa na shambulizi mtandao katika wizara zake mbili hadi sasa ambao umepelekea taarifa kadhaa za wizara hizo kupotelea mikononi mwa wahalifu mtandao.