WELCOME !

THANK YOU FOR VISITING THIS SITE. I HAVE BEEN USING BOTH SWAHILI AND ENGLISH LANGUAGE TO EXPRESS ISSUES - I HAVE ATTACHED ENGLISH VERSION TO SOME OF THE SWAHILI NEWS/STORY AT THE END.

Saturday 30 March 2019

AHUKUMIWA MIAKA MIWILI JELA KWA KOSA LA KUHARIBU TAARIFA ZA ALIYEKUA MUAJIRI WAKE



KWA UFUPI: Steffan Needham, Amabae alihudumu kama mshauri wa maswala ya tehama (IT Cosultant) katika kampuni ya Voova ya nchini Uingereza amehukumiwa kifungo cha miaka 2 Jela kwa kosa la kuharibu taarifa za muajiri wake wa wa zamani.
--------------------------------

Kwa mujibu wa Thames Valley Police ya Nchini Uingereza, Mtuhumiwa alifukuzwa kazi na mwaajiri wake na baadae kuharibu taarifa zote muhimu za kampuni hiyo kwa kile kilicho tafsiriwa kama kulipiza kisasi kutokana na kufukuzwa kwake.
Uharibifu wa taarifa umekadiriwa kuigharimu kampuni hiyo kiasi cha Dola laki sita na elsfu Hamsini (US$650,000) ikiwa ni pamoja na kupelekea wafanyakazi kadhaa kupoteza kazi zao.

Mtuhumiwa amehukumiwa chini ya sheria ya nchini Uingereza ya mitandao (Computer Misuse Act)


Thursday 21 March 2019

KNOW AND PICK YOUR ANDROID SECURITY APP WISELY



IN BRIEF: In recent year, we have seen a tremendous increase of mobile applications across many countries – It is like everyone want to come with a mobile application for many reasons. On the other hand, the rate of fake and malicious mobile applications is rapidly growing posing major security risk to mobile users.
-------------------------------------

 Mobile application developers are now facing threats to customers and application data as automated and sophisticated attacks increasingly target the owners, users and data of mobile applications.

Apart from jeopardizing our privacy from unprotected Application from various application developers, Criminals are also developing mobile applications with malicious intentions putting thousands of users who download them to fall victims of cybercrimes.