WELCOME !

THANK YOU FOR VISITING THIS SITE. I HAVE BEEN USING BOTH SWAHILI AND ENGLISH LANGUAGE TO EXPRESS ISSUES - I HAVE ATTACHED ENGLISH VERSION TO SOME OF THE SWAHILI NEWS/STORY AT THE END.

Monday 25 July 2016

A MASSIVE ISPs CYBER ATTACK IN INDIA

India is one of the country knowing the fillings of cyberattacks. There have been many reports showing how the country keep on facing cyber-attacks and the fight against it is yet to meet its targets. The report which can be read “HERE” shows the statistics of cybercrimes in India for the past years.




 The country now is experiencing a painfully slow internet connection for a week, webpages are either loading after a prolonged delay or timing out due to the massive cyber-attacks on Internet Service providers (ISP). An Andheri-based ISP has now lodged an FIR against what is known as a distributed denial of service (DDoS) attack.

The motive behind this massive cyberattacks on ISP is yet unclear, but the Indian cyber police said that, it is state-wide and besides being among the largest of its kind in the world, the attack is the first of such a magnitude in India. The perpetrators as of now are unknown.

Wednesday 13 July 2016

UMUHIMU WA KUJENGEA UWEZO WATU WETU KATIKA KUBABILIANA NA UHALIFU MTANDAO

Uhalifu mtandao bado umeendelea kukua maeneo mbali mbali Duniani – Tishio hili linachukua sura ya kipekee wakati ambapo uhalifu mtandao ume endelea kufanyika kwa ustadi wa hali ya juu huku ukindelea kukua kwa kasi ya kipekee.

Ujuzi mkubwa walionao wahalifu mtandao unatosha kua somo kwa wanaopambana na uhalifu mtandao kujipanga zaidi hasa ukizingatia namna ya ufanyai uhalifu mtandao, umeendelea kubadilika kadri teknolojia inavyobadilika sanjari na inavyokua.

Kuzingatia yote haya moja ya maazimio tuliokubaliana Jijini Johannesburg, Afrika kusini mwaka jana (2015) ni kuhakiki ya kua situ tunakua na watu sahihi wenye ujuzi wa kupambana na uhalifu mtandao bali pia kujenga tabia ya kuwaongezea uwezo na kutengeneza nguvu kazi zetu zitakazo saidia mapambano dhidi ya Uhalifu Mtandao Barani na Duniani kwa ujumla.

Nchi mbalimbali barani zimeendelea kulifanyia kazi hili ikiwa ni pamoja na kupitia upya mitaala yake ili kuhakiki elimu sahihi ya maswala ya usalama mitandao inafundishwa na kuhimiza tabia ya wahusika kuendelea kupatiwa mafunzo ya mara kwa mara pamoja na kujijengea tabia ya kujifunza kwa kupitia yale yanayo andikwa na wataalam wa usalama mtandao ili kufahamu kinachoendelea katika fani husika kwani Mbinu za kihalifu mtandao zimekua zikibadilika sana kadri teknolojia inavyo badilika pamoja na kukua.

Binafsi, Nilipokea mwaliko katika Kauti ya Bungoma Nchini Kenya ili kushuhudia na kushauri mpango mpya wa kauti hiyo wa kuanzisha maabara maalum zilizo dhamiriwa kua ni za kutengeneza wataalam wa usalama mitandao watakao saidia kukabiliana na uhalifu mtandao si katika kauti pekee bali ni pamoja na Nchi nzima ya Kenya.