WELCOME !

THANK YOU FOR VISITING THIS SITE. I HAVE BEEN USING BOTH SWAHILI AND ENGLISH LANGUAGE TO EXPRESS ISSUES - I HAVE ATTACHED ENGLISH VERSION TO SOME OF THE SWAHILI NEWS/STORY AT THE END.

Sunday 24 January 2016

BANGLADESH PLANS TO ESTABLISH MORE CYBERCRIME COURT

With just one court in the nation handling internet-related cases and reports of women and girls committing suicide after being victimized by online crimes, Bangladeshi authorities plan to establish six more cyber courts by April 2016.

Girls and women in Bangladesh suffer heavily from cybercrimes with many being victimized by inadvertently having their nude photos or images posted online, officials and information technology experts say.

                 
    

“We have decided to increase the number of cyber courts to try the increasing number of cybercrime cases. Hopefully, the proposed cyber courts will start functioning in the next three months,” Home Minister Asaduzzaman Khan Kamal told BenarNews.

Cybercriminals who target women by posting sexually explicit videos online can be prosecuted under the country’s Pornographic Regulation Act of 2012 as well as the Information and Communication Technology Act of 2006, Kamal said.


Thursday 14 January 2016

DHANA YA USHIRIKIANO KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO YALETA MAFANIKIO

Kukabiliana na uhalifu mtandao lazima papatikane mashirikiano "Collaboration" – Mashirikiano ya ndani pamoja na nje. Mara baada ya Hotuba yangu Nchini Afrika kusini ambapo niliibua dhana ya kuwekea mkazo kwenye kuimarisha ushirikiano kwani uhalifu mtandao hauna mipaka na uharibfu wake ni wa kupindukia. Mengi yameendelea kuonekana na dhana imeendelea kubeba uzito huku mataifa mengi yakihakiki yanazingatia hili kwa kuanzisha au kuunganisha vitengo vinavyosimamia dhana ya ushirikiano katika kukabiliana na uhalifu mtandao Duniani Kote.

Aidha, Bado uhalifu mtandao umeendelea kukua maeneo mbali mbali ambapo imeonekana wahalifu mtandao wamejipanga upya na nguvu mpya – Huwenda ni baada ya Raisi wa Marekani Kuzuia kwa mara ya kwanza mwishoni mwa mwaka jana kukutana. Hatua aliyoichukua baada ya kuona mikutano yao ya kihalifu mtandao ilikua ikionyesha mafanikio kwa kukuza uhalifu mtandao maeneo mengi duniani hasa Taifa hilo.

Tahadhari na maangalizo mbali mbali yameendelea kutolewa ili kuruhusu makampuni ,watu binafsi na Mataifa kujipanga zaidi na dhana ya kuzuia tatizo kabla halijatokea. Ambapo katika hotuba yangu Nchini Kenya mwishoni mwa mwaka jana hili nililiimiza zaidi.

Kama ilivyo ada, katika kupitia mapitio kadhaa ya kihalifu mitandao na ukuaji wa matumizi ya TeknoHAMA tumeendelea kutoa taarifa ya mategemeo ya uhalifu mtandao katika mwaka huu ili pia kutoa fursa ya mataifa kujipanga kukabiliana nayo yatakapo jiri na hata kujitahidi kutengeneza njia rafiki ya kuzuia kabla hayajatokea.

MAFANIKIO