WELCOME !

THANK YOU FOR VISITING THIS SITE. I HAVE BEEN USING BOTH SWAHILI AND ENGLISH LANGUAGE TO EXPRESS ISSUES - I HAVE ATTACHED ENGLISH VERSION TO SOME OF THE SWAHILI NEWS/STORY AT THE END.

Monday 30 October 2017

IDADI KUBWA YA PROGRAM TUMISHI ZIMEENDELEA KUIBA TAARIFA ZA WATUMIAJI

Nchini Tanzania Matumizi ya TEHAMA yame endelea kukua katika maeneo mbali mbali. Hii ime endelea kurahisisha upatikananaji wa huduma muhimu na kuwezesha watu kuendelea kuwasiliana kwa urahisi.

Viwanda na Taasisi mbali mbali zimeendelea kutumia TEHAMA ili kukuza ufanisi na kufikia watu wengi kwa kipindi kifupi. Miamala ya kifedha, ukusanyaji kodi, pamoja na mawasiliano ni baadhi tu ya mambo yanayo wezeshwa na TEHAMA nchini.

Usalama wa mifumo ya TEHAMA ni moja ya jambo muhimu sana ambapo Tanzania inapaswa kuwekeza ili kujilinda na aina zozote za kialifu mtandao ambazo zinaweza kupelekea huduma muhimu kutopatikana na hatimae uchumi wa Nchi kuyumba.

-------------------
STATISTICS: Tanzania installed 27,000 KMS of optic fiber connecting all regions and it has 7 mobile operators – About 94% network coverage, 85% SIM penetration and 40% internet users.
-------------------
Mkutano mkuu wa mwaka wa wataalam wa TEHAMA nchini Tanzania ulio fanyika mwishoni mwa wiki iliyopita (26 – 27, Octoba – 2017) jijini Dar-es salaam ulipata kujadili usalama mtandao ambapo mada kadhaa zilizo jikita katika kutoa elimu ya namna bora za kuimarisha usalama wa mifumo yetu zili wasilishwa na kujadiliwa.

Monday 9 October 2017

THE RISE OF FINANCIAL CYBER THREATS

FINANCIAL threats are still profitable for cyber criminals and, therefore, continue to be an enduring part of the threat landscape. From financial Trojans that attack online banking, to attacks against automated teller machines (ATMs) and fraudulent interbank transactions, there are many different attack vectors utilised by criminals.

Symantec predicted in 2015, there was an increase in attacks against corporations and financial institutions during 2016. This was evident from a series of high-value heists targeting Society for Worldwide Interbank Financial Telecommunication (Swift) customers. While there is no evidence of any such high value heists on Swift customers this year, the 2016 attacks saw several such institutions lose millions of dollars to cyber criminals and nation state-supported attackers such as the Lazarus group.


On average, 38 per cent of the financial threats we detected in 2016 were found in large business locations. Most of these infection attempts were not targeted attacks but were instead due to widespread email campaigns. Although we have seen a 36 per cent decrease in detection numbers for financial malware in 2016, this is mainly due to earlier detection in the attack chain and more focused attacks.