WELCOME !

THANK YOU FOR VISITING THIS SITE. I HAVE BEEN USING BOTH SWAHILI AND ENGLISH LANGUAGE TO EXPRESS ISSUES - I HAVE ATTACHED ENGLISH VERSION TO SOME OF THE SWAHILI NEWS/STORY AT THE END.

Saturday 28 April 2018

KENYA: WAKUU WA TEHAMA WAKUTANA



KWA UFUPI: Wakuu wa vitengo vya TEHAMA wamekutana kujadili changamoto na namna nzuri ya kuzitatua changamoto hizo katika vikao vilivyo kamilika Nchini Kenya.
-------------------------------

Watunga sera na sheria mbali mbali wamekua wakifanya maamuzi ya TEHAMA bila kushirikisha wadau wa TEHAMA – Hii imekua moja ya changamoto inayo leta mkinzano wa utendaji wenye manufaa kwa wana TEHAMA maeneo mengi barani Afrika.

Mjadala ulioangazia umuhimu wa udhibiti na uangalizi wa watendaji katika sekta ya TEHAMA umeonekana kua mzuri ila umegubikwa na changamoto kadhaa kutokana na ushirikishwaji mdogo wa wadau ili kuweza kuleta mabadiliko kwenye sekta husika.

Mjadala huu umejadiliwa kufuatia kuwepo kwa sera mpya nchini Kenya itakayo rasimisha Wana TEHAMA na kuwataka watambulike kabla ya kuweza kuhudumu maeneo mbali mbali. Hili litafanana na tulicho nacho nchini Tanzania kwa wanasheria pamoja na wataalam wa maeneo mengine kadhaa.

Thursday 19 April 2018

MOROCCO TO HOST CYFY AFRICA 2018



IN BREAF: Morocco will be hosting this year CyFy Africa where experts and practitioners from around the globe expected to discuss the future the technology holds for the Continent. CyFy Africa comes at a time when the world’s attention is centered on Africa’s rise towards becoming the next digital superpower.
----------------------------------------

Cyber Security and Global Stability, Data Security ,Securing the Future of Africa’s Mobile Market, A Normative Framework for African Cyberspace: Lessons from the AU Convention on Cybersecurity and Personal Data Protection (AUCC) are among the key agenda that will be discussed during this year event.

Other agenda are Human Rights in the Digital Age, The Future of Entertainment, Online youth investment: Successes, opportunities and challenges and Internet CapacityBuilding for Development 



I expect to join other cybersecurity expert and practitioners to address delegates during CyFy Africa 2018 event.
-----------------------------
NEWS UPDATES: The JUTA Cyber Crime and Cyber Security Bill Pocket Book will be launched during the Lex-Informatica Annual SA Cyber Law & ICT conference 2018 in Johannesburg south Africa – The theme of the event is “Cyber Law in ICT Review”.
I’ll be joining other experts to discuss and enlightening delegates on keys issues people are facing in the world through topics like Cyber Crime, Cyber Security, Digital Forensics, Data Breach, Data Protection, Social Media Law, POPIA to mention a few.
-----------------------------

Tuesday 17 April 2018

TASKRABBIT YAKIRI KUDUKULIWA



KWA UFUPI: TaskRabbit imekua muhanga wa uhalifu mtandao – IKEA, Imethibitisha. Hii ni katika muendelezo wa Programu tumishi (Applications) na huduma zingine za kimtandao kuingiliwa na wahalifu mtandao ambapo taarifa za watu zimejikuta katika mikono isiyo salama.
---------------------------------
TaskRabbit iliyo anzishwa mwaka 2008 na Bi. Leah Busque iliyokua na madhumuni ya kutoa ajira zisizo rasmi kwa watu ambapo ilinunuliwa na IKEA mwaka 2017. Imekua ikitoa huduma zake kwa kujitegemea ndani ya mjumuiko wa makampuni ya nayo milikiwa na IKEA.

Program tumishi hiyo imekua ikitumiwa Zaidi na Raia wa Uingereza na maeneo mengine kujitafutia ajira zizizo rasmi kama kazi za ndani, kazi za bustani na nyinginezo ambapo wateja wa program tumishi hiyo na huduma za kimtandao zinazo shabiana na program tumishi hiyo imekua ikikusanya taarifa za watafuta ajira na wanao tafuta wakuwafanyia kazi hizo.

Mjadala wa wanausalama mtandao umeeleza taarifa binafsi nyingi za wateja zimekua zikikusanywa na sasa zimeingia mikononi mwa wahalifu mtandao. Prorgram tumishi pamoja na tovuti zimefungwa kwa muda kufuatia tukio hili.