WELCOME !

THANK YOU FOR VISITING THIS SITE. I HAVE BEEN USING BOTH SWAHILI AND ENGLISH LANGUAGE TO EXPRESS ISSUES - I HAVE ATTACHED ENGLISH VERSION TO SOME OF THE SWAHILI NEWS/STORY AT THE END.

Friday 26 August 2016

UHALIFU MTANDAO NA ATHARI KIUCHUMI

Yapo maeneo mengine ambayo yanaweza kuathiriwa vibaya na uhalifu mtandao – UCHUMI, ni moja ya eneo muhimu ambalo wahalifu mtandao wanaweza kuliletea athari. Aidha, Unapotazama kinacho wapelekea wahalifu mtandao kufanya uhalifu moja wapo ni kujipatia fedha.

Ni wazi kua Raisi wa awamu ya Tano ana pambana kwa dhati kuhakiki wa Tanzania wanaondokana na umasikini ulio kithiri ambapo anaendelea kuchukua jitihada na hatua mbali mbali hadi sasa.

Mfano: Kumekua na uhimizaji mkubwa wa ukusanyaji wa kodi ki elektriniki – Kwa njia ya mtandao ambapo amesisitiza anataka aone TEHAMA inatumiwa vizuri katika eneo hili ili kuhaliki hakuna upotevu wa pesa katika ukusanyaji wa kodi Nchini.

Aidha, Mabenki yameendelea kuboresha mifumo ya Kimtandao kuhakiki miamala inafanyika zaidi kupitia mtandao na nikitolea mfano, mabenki Nchini yamekua yaki hamasisha huduma mtandao kama vile (Huduma za kifedha kupitia simu, kutumia kadi zetu kufanya manunuzi pamoja na matumizi ya mashine za kutolea fedha “ATM”)

Makampuni ya simu nayo hayajakubali kubaki nyuma – Yame hakiki yanaingiza huduma inayoshika kasi zaidi Nchini ya kuweza kufanikisha miamala ya kifedha kupitia simu zetu (Mobile money) ambapo wana nchi wengi wameendelea kuona huduma hizi ni rahisi na wengi wanazitumia.

Wednesday 24 August 2016

HOSPITALS NEED TO RAISE THEIR CYBER SHIELDS

Cyber criminals are becoming more sophisticated even while more and more of the world’s transactions and intellectual property are being created and stored in the digital space. The result is an increase in threats to companies as well as the tangible and non-tangible consequences that follow.

The increasing expansion of technology into our hospitals may come with a price. Recently, we have witness a good number of cyberattacks on hospitals across many nations. This lends worry of more attacks to hospitals as they keep deploy new technologies and mobile devices for clinical communications.

Despite new secure device investments, 82% of hospitals expressed concern about their ability to protect mobile devices, patient data, and infrastructure from cyberattacks such as malware, blastware, and ransomware – New released survey has reviled.
----------------------
NOTE: About 38% of hospitals have invested in a smartphone-based communications platform for staff communication, but 82% of hospital IT staff and healthcare professionals are concerned about their ability to protect against cyberattacks
------------------------

The survey of more than 100 IT and healthcare professionals working in hospitals found that more hospitals are moving to mobile: 38% of hospitals had invested in a mobile communications platform for doctors, nurses, and other staff to discuss clinical matters on. The average size of deployments was 624 devices.

Sunday 14 August 2016

WAHALIFU MTANDAO WAUNGANISHA NGUVU KUDHURU MABENKI

Makundi mawili makubwa ya kihalifu mtandao yanayo andika program hasidi “Malware” zenye mlengo ya kudhuru mabenki yametangaza kuungana ambapo imezungumzwa kuwa huwenda ndio sababu kuu ya kumepelekea takwimu mpya za mashambulizi dhidi ya taasisi za kifedha kwa Mwezi (4, 2016 – 6, 2016) kuongezeka kwa Asilimia 16 (16%)  kulinganisha na takwimu za Mwezi (1, 2016 – 4, 2016) .

Makundi haya mawili ambayo ni waandishi wa “Nymaim Trojan” pamoja na “Gozi Trojan” katika hatua yao ya kuunganisha nguvu yanatabiriwa kuongeza tishio kubwa la matukio ya wizi wa fedha katika taasisi za fedha duniani kote – Na inatabiriwa makundi mengine yakielekea kufata njia hii ya kuunganisha nguvu ili kuongeza kasi ya kudhuru na kuiba fedha katika Taasisi za fedha.

Nikielezea umuhimu wa wanausalama mtandao kuunganisha nguvu [KATIKA ANDIKO LINALOWEZAKUSOMEKA HAPA] nilionyesha namna ushirikiano wa dhati baina ya wanausalama mtandao unavyoweza kupunguza  uhalifu mtandao duniani kote hasa ukizingatia uhalifu huu unafanyika bila kuzingatia mipaka.

-----------------------------
NOTE: Banking Trojans are often propagated through compromised or fraudulent websites and spam emails. After infecting users, they mimic an official online banking page in an attempt to steal users’ personal information, such as bank account details, passwords, or payment card details.
--------------------------------

Awali, “Nymaim Trojan” ilieundwa kama “Ransomware” ambapo kazi kuu ilikua ni kufungia mifumoya watu  na kudai fedha ili kuifungua. Na kwa sasa baada ya mbili hizi kuungana imeongeza sifa nyingine ambapo kwa sasa imekua na uwezo pia wa kusababisha mtu aliyeko mbali kuweza kutumia mfumo wa mtu mwingine bila ridhaa.

Thursday 4 August 2016

NIGERIAN CYBER CRIMINAL HAS BEEN ARRESTED - INTERPOL

To maximise cross border collaboration, Interpol has been working closely with countries to fight cybercrimes – This include investigations and catching cybercriminals. These collaborations initiatives brought positive impact; it is encouraged to growing wider (Extending wings) as the cybercriminals are getting more sophisticated. 

On Monday, a Nigerian accused of scamming $60 million from companies around the world through fraudulent emails has been arrested after months of investigation, Interpol and Nigeria’s anti-fraud agency revealed.

One company paid out $15.4 million, according to an Interpol statement.

The ringleader of a global scamming network, identified only as 40-year-old Mike, was arrested along with a 38-year-old accomplice in Nigeria’s oil capital, Port Harcourt, in June, the statement said. He is on administrative bail, which implies that officers do not yet have enough evidence to charge him.

-------------------------------------------
NEWS UPDATES: The Obama administration is weighing new steps to bolster the security of the United States’ voting process against cyberthreats, including whether to designate the electronic ballot-casting system for November’s elections as “critical infrastructure,” Jeh Johnson, the secretary of Homeland Security, said on Wednesday.
-----------------------------------------------

The man is accused of leading a network that compromised email accounts of small and medium-sized businesses around the world including in the United States, Australia, India, South Africa and Thailand. The statement didn’t name any targets.

Wednesday 3 August 2016

“WI-FI” ZA BURE NA HATARI KUBWA INAYO IZUNGUKA

Ili kuwezesha upatikanai rahisi wa huduma za mtandao – Mahoteli, Viwanja vya ndege na maeneo mengine ya mkusanyiko wa watu kumekua na huduma ya Mitandao inatolewa kupitia teknolojia ya “Hotspot – Wi-Fi” ambapo imeendelea kua na umaarufu mkubwa hivi sasa.

Kama ilivyo katika maeneo mengine ya Hili nalo limekua na upande wa pili ambapo kumeibuka wimbi la wahalifu mtandao wanaotumia udhaifu uliyoko kwenye huduma hizi za bure za “Wi-Fi – Hot spot” kudukua  na kuleta madhara kwenye mtandao.

Wahalifu mtandao wamekua wakiweka “Wi-Fi” za bure ambazo si sahihi “Fake” ambapo wanategemea watu wengi watazitumia na baadae kukusanya taarifa zao na kufatilia vinavyosambazwa kwenye mtandao na baadae kupelekea kufanikisha uhalifu mtandao.

Kampuni ya usalama mtandao ya “Avast” hivi karibuni imefanya jaribio la kuangazia uelewa wa watu juu ya huduma hizi za bure za kujipatia mtandao “Free Wi-Fi” ambapo kampuni hiyo iliweka idadi kadhaa ya “Fake Free (Hot spot) Wi-Fi” kwenye mkutano wa Kisiasa nchini Marekani “Republican National Convention”.

---------------------------------------------------
NOTE: "Travellers should be conscious of hackers who will attempt to physically steal laptops, tablets and cell phones from luggage, hotel rooms or coffee shops when they are left unattended"
---------------------------------------------------

Takwimu zlizo kusanywa na Kampuni hiyo zinasema watu zaidi ya 1200, Walitumia huduma hiyo iliyokua imewekwa kwa mtego na asilimia 68.3 walitoa taarifa zao binafsi. Huku ikielezwa mashindano ya Olympik hili pia linategemewa kujitokeza.